IDARA YA MISSION NA UINJILISTI

KKKT USHARIKA WA RUAHA

IDARA YA MISSIONI NA UINJILISTI

KUHUSU IDARA

IDARA YA MISSIONI NA UINJILISTI

Kazi ya Idara hii ni kuongoza, kusimamia, kufundisha Neno la Mungu Wakristo na kuhakikisha habari njema ya Bwana wetu Yesu Kristo inahubiriwa katika usharika.
  • Malengo: Idara hii inalenga kueneza Injili ya Yesu Kristo kwa watu wote. Lengo kuu ni kuhakikisha kwamba injili inafika kwa kila mmoja, kuwawezesha kumjua Kristo na kumfuata. Inahusisha shughuli za uinjilisti ndani na nje ya usharika.

Majukumu:

KKKT USHARIKA WA RUAHA

VIONGOZI WA IDARA YA MISSIONI NA UINJILISTI

Fadhili Sanga

Katibu Idara ya Misioni na Uinjilisti Usharika wa Ruaha

Mchungaji Yusuph Mbago

Kiongozi