IDARA YA E/KIKRISTO; VIJANA NA MASOMO YA JUU

KKKT USHARIKA WA RUAHA

IDARA YA E/KIKRISTO; VIJANA NA MASOMO YA JUU

Picha juu: Vijana walioongoza Ibada Sikukuu ya Vijana July 2024.
Picha ya Chini: Viongozi wa Vijana baada ya Kikao na Mchungaji wa Usharika Tarehe 2/2/2025.
KUHUSU IDARA

IDARA YA E/KIKRISTO; VIJANA NA MASOMO YA JUU

Kazi ya idara hii ni kusimamia mafundisho yahusuyo Elimu ya Kikristo katika madarasa ya Ubatizo, Kipaimara, Shule, Vyuo ili kuhakikisha Vijana katika usharika wanakua katika maadili mema yanayompendeza Mungu.
  • Malengo:
  • Idara hii inalenga kutoa elimu ya Kikristo kwa watoto, vijana na watu wazima. Pia inalenga kuwawezesha vijana na wanafunzi wa masomo ya juu kuwa na uhusiano mzuri na Mungu, na kuwaandaa kwa maisha ya Kikristo katika jamii.

Majukumu: