IDARA YA WANAWAKE NA WATOTO

KKKT USHARIKA WA RUAHA

IDARA YA WANAWAKE NA WATOTO

KUHUSU IDARA

IDARA YA WANAWAKE NA WATOTO

Idara hii inasimamia na kuimarisha ustawi wa Wanawake pamoja na kuwalea Watoto katika usharika kwa kuwafundisha Neno la Mungu ili wamjue Mungu.

Katibu wa Idara ni Bi. Rose Kambaita na Mwenyekiti ni Bi. Mervis Mwakajoka
  • Malengo:
  • Idara hii inalenga kuwawezesha wanawake na watoto kiroho na kijamii, kutoa msaada kwa wanawake na watoto katika jamii na Kanisa.

Majukumu:

Daina Isumo

Mwenyekiti Idara ya Wanawake na Watoto Makao makuu ya Usharika

Mervis Mwakajoka

Mwenyekiti Idara ya Wanawake na Watoto Usharika wa Ruaha.

Rose Mkenda

Katibu Idara ya Wanawake na Watoto Usharika wa Ruaha.

Mwl. Vaileth Massawe

Katibu Idara ya Wanawake - Makao makuu ya Usharika.