IDARA YA MIPANGO NA MAENDELEO

KKKT USHARIKA WA RUAHA

IDARA YA MIPANGO NA MAENDELEO

Majukumu:

KUHUSU IDARA

IDARA YA MIPANGO NA MAENDELEO

Kazi ya idara hii ni kubuni na kusimamia miradi mbalimbali iliyopo na inayoanzishwa katika usharika ili kuleta maendeleo kimwili na kiroho.

Katibu wa idara hii ni Bi. Maria Mwanjalila na Mwenyekiti ni Bw. Imani Ngao.
  • Malengo:
  • Idara hii inalenga kupanga, kusimamia, na kutekeleza miradi ya maendeleo katika usharika. Lengo kuu ni kukuza ustawi wa waumini kwa njia ya miradi ya kijamii na kiuchumi.

Majukumu: