IDARA YA UTABIBU NA DIAKONIA

KKKT USHARIKA WA RUAHA

IDARA YA UTABIBU NA DIAKONIA

Majukumu:

  • Malengo:
  • Idara hii inalenga kutoa huduma za kiafya na kiroho kwa waumini na jamii. Lengo ni kuhakikisha waumini wanapata huduma bora za kiafya na msaada wa kiroho wakati wa mahitaji.
KUHUSU IDARA

IDARA YA UTABIBU NA DIAKONIA

Idara hii inasimamia kusaidia Wahitaji (wanaohitaji msaada wakiwemo Yatima na Wajane). Lakini pia inasimamia tiba na utoaji wa elimu ya afya ya msingi kwa Wakristo na jamii..

Frank Mshiu

Katibu Idara ya Utabibu na Diakonia Usharika wa Ruaha.