Mtaa wa Mzombe

MTAA WA

MZOMBE

Kiongozi wa Mtaa: Mwinjilisti Tulamuona Isaya Mhungulu: Simu +255 656 803206
Katibu wa Mtaa: Evodia Chakwe
KUHUSU MTAA

Mtaa upo eneo la kata ya Ruaha , kijiji cha Kifinga ,pembezoni mwa njia ya Ruaha kuelekea Mikumi , mkono wa kushoto ukitokea upande wa kijiji cha Ruaha, Mtaa huu unazaidi ya washarika 100
MTAA WA

UONGOZI NA IDARA ZA MTAA

Ev. Tulamuona Mhungulu

Mwinjilist Mtaa wa Mzombe

Imani Kibavye

Mzee wa Kanisa Mtaa wa Mzombe

Idara ya Wanawake na Watoto

Katibu: Bi. Safia Salumu
Mwenyekiti: Ania Kibavye

Idara ya E/Kikristo, Vijana
na Masomo ya juu

Katibu: Ayubu Festo

Idara ya Misioni na Uinjilisti

Idara ya Utabibu na Diakonia