
KUHUSU KKKT USHARIKA WA RUAHA
Mch. Yususp A. Mbago
Karibuni sana kwenye tovuti ya Kanisa letu! Mimi ni Mchungaji Yusuph Akimu Mbago, na ni furaha yangu kuwa na ninyi hapa. Tovuti hii ni sehemu muhimu ya kuunganishwa na familia ya Kanisa letu, kujifunza neno la Mungu, na kushiriki katika huduma zetu. Tunapenda kuendelea kuwa na ninyi katika safari yetu ya imani, na kupitia tovuti hii, tunaamini kwamba tutaweza kufikia kila mmoja wenu popote mlipo. Karibuni, na mnaweza kugundua huduma zetu, maombi, na mambo yote muhimu yanayohusu maisha ya Kanisa letu. Mungu awabariki na asanteni kwa kutembelea!
Watumishi
Uongozi wa USharika

Daina Isumo
Mwenyekiti Idara ya Wanawake na Watoto Makao makuu ya Usharika

Gideon Stephan Mhalafu
Mwinjilisti

Mervis Mwakajoka
Mwenyekiti Idara ya Wanawake na Watoto Usharika wa Ruaha.

Rose Mkenda
Katibu Idara ya Wanawake na Watoto Usharika wa Ruaha.

Mwl. Vaileth Massawe
Katibu Idara ya Wanawake - Makao makuu ya Usharika.

Jerico Mwankusye
Mzee wa Kanisa

Leonard Kawiche
Mzee wa Kanisa

Jackson Kawogo
Mzee wa Kanisa

Kenny Lyabonga
Mzee wa Kanisa