Picha mbalimbali za Wanawake wa mtaa wa Kristo Mfalme uliopo usharika wa Ruaha wakiadhimisha sikukuu ya wanawake Duniani

IBADA YA KUMUAGA MTHEOLOJIA Sarah Musa Kihwele.
Ibada ya kumshuukuru na kumuaga mtumishi wa Mungu Mtheolojia Sarah Musa Kihwele. Jumapili ya tar 23.02.2025

Brass Band KKKT Ruaha katika Jubilee ya miaka 75 ya Parternship DUK na Danish Lutheran Mission
Kwenye Picha ni Brass Band ya KKKT Usharika wa Ruaha wakiwa na Mchungaji Kiongozi Yusuph A.Mbago Kanisa kuu