Kwaya ya Umoja KKKT Ruaha yapata Cheti cha Pongezi wa kushiriki Kongamano la Uimbaji Kidayosisi lililofanyika tarehe 13

Ujenzi wa Nyumba ya Kanisa (ya kukaa Mchungaji) hapa Usharikani
Ujenzi wa Nyumba ya Kanisa (ya kukaa Mchungaji) hapa Usharikani.

Mtaa wa Kristo Mfalme wakiadhimisha Ibada ya Maombi ya dunia Tarehe 9.3.2025
Picha mbalimbali za Wanawake wa mtaa wa Kristo Mfalme uliopo usharika wa Ruaha wakiadhimisha sikukuu ya wanawake Duniani